JKT RUVU;
Ilikuwa timu ya pili kuongoza Ligi Kuu mzunguko wa kwanza msimu huu baada ya Yanga SC na ilianza vizuri kweli. Hata hivyo, inazidi kuthibitika sasa kwamba, JKT ni timu ambayo inacheza Ligi ili isishuke tu na haina malengo ya zaidi. Lakini ina uwezo ikiamua japo kumaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu, ila kwa mwenendo wake huwezi kuifikiria hivyo. Katika mechi 13, imeshinda tano, haina sare zaidi ya kufungwa mechi nane, imefunga mabao 10, imefungwa 16 na imemaliza na pointi 15.
P W D L GF GA GD Pts
9 JKT Ruvu 13 5 0 8 10 16 -6 15

0 comments:

Post a Comment

    Blogger news

    Blogroll

    Pages

    About