USISAHAU KU LIKE PAGE YETU YA FACEBOOK HAPA CHINI


Anajulikana kwa jina la Vladimir Putin (Carlos Slim Helu) rais wa Urusi mwenye utajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $69 billion, anamiliki magari ya kifahari pamoja na nyumba za bei ghali zikiwemo hata ndege binafsi na yatch zifuatazo ni mali anazomiliki pamoja na manyumba na magari na vitu vyenye thamani

Ana nyumba zaidi ya 20 katika maeneo tofauti ikiwamo moja yenye thamani ya shilingi $950 millioni za kimarekani 
Ana ndege 58 zote zikiwa ni mali zake binafsii picha hizi hapa 




Ndani ya ndege hizo 58 kuna 15 helicopterszingine zilizobaki ni ndege 43 


Na hizo ni moja ya magari anayomiliki yakiwa na thamani ya hali ya juu katika soko la dunia upande wa magarii 
Pia ana Yacht 4




Ndani ya hizi yatch kuna kila kitu hadi swiming pool 






Msahara wa Raisi wa Russia wenye thamni ya $115,000 dola za kimarekani, ambayo ni sawa na mara sita ya saa anayomiliki tajiri huyu yenye thamani ya dola za kimarekani $700,000.

0 comments:

Post a Comment

    Blogger news

    Blogroll

    Pages

    About