Ilionyesha ni timu nyingine nzuri baada ya kucheza vyema na kutoa sare na vigogo Simba SC katika mechi ya kwanza, lakini baadaye ikaanza kufungwa hadi nyumbani- maana yake, Tabora bado hawajapata cha kujivunia katika Ligi Kuu. Inaweza kushuka daraja isipojipanga vizuri katika mzunguko wa lala salama. Katika mechi 13, timu hiyo iliyopanda msimu huu imeshinda mbili, sare tano na kufungwa sita, imefunga mabao tisa, imefungwa 16 na imemaliza na pointi 11.
P W D L GF GA GD Pts
10 Rhino Rangers 13 2 5 6 9 16 -7 11

0 comments:

Post a Comment

    Blogger news

    Blogroll

    Pages

    About