
COASTAL UNION;
Baada ya usajili wa kishindo na mwembwe nyingi, ikaanza na ushindi wa 2-0 ugenini dhidi ya JKT Oljoro na kujiona iko vizuri, kumbe ilifunga vibonde. Mabingwa hao wa 1988 wakaanza kusuasua hadi kumfukuza kocha wake, Hemed Morocco na kuwa chini ya makocha wa muda, Joseph Lazaro na Razack Yussuf ‘Careca’. Katika mechi 13, imeshinda tatu, sare saba na kufungwa tatu, imefunga mabao 10, imefungwa saba na imemaliza na pointi 16.
P W D L GF GA GD Pts
8 Coastal Union 13 3 7 3 10 7 3 16
0 comments:
Post a Comment