SIMBA SC;
Ilitoa sare katika mechi ya kwanza, lakini ikashinda mfululizo mechi zilizofuata hadi kukaa kileleni kwa muda mrefu, kabla ya kuenguliwa mwishoni na Azam FC na Mbeya City. Ilionekana zaidi kuathiriwa na migogoro baina ya wachezaji na benchi la ufundi, lakini ikiwa timu inayoundwa na yosso wengi, Simba SC ilionyesha ni timu inayoweza kubeba taji. Katika mechi 13, imeshinda sita, sare sita na kufungwa moja na Azam FC, imefunga mabao 26, imefungwa mabao 13 na imemaliza na pointi 24.
P W D L GF GA GD Pts
4 Simba SC 13 6 6 1 26 13 13 24

0 comments:

Post a Comment

    Blogger news

    Blogroll

    Pages

    About