Katika kampeni ndogo ya kuangaliwa nani anakubalika zaidi kati ya Diamond na Alikiba imeonesha kuwa alikiba anakubalika saana na Watanzania, kwani katika comment nilizozikuta mimi kati ya comment 43, 31 walisema wanamkubali Alikiba huku 12 tu wakisema wao wanamkubali Diamond


Kwa uchambuzi huu Alikiba anapendwa kwa asilimia 77.5 na Diamondi 22.5. kumbuka uchambuzi huu umefanya katika comment za ukurasa wa facebook wa East Africa Television na bila upendeleo....comment hizo hazijawekwa hapa kutokana na matatizo ya kiufundi.

Bila upendeleo, yupi unamkubali kwa sauti na mashairi kati ya


0 comments:

Post a Comment

    Blogger news

    Blogroll

    Pages

    About