MTIBWA SUGAR;
Ilianza kwa sare ya nyumbani na Azam, baadaye ikawa inashinda, inafungwa na kutoa sare. Kwa ujumla Mtibwa ikawa timu isiyotabirika na haikuwa ajabu kumaliza katikati ya msimamo. Bado huwezi kuifikiria kurudia kile ilichokifanya mwaka 1999 na 2000, kutwaa ubingwa wa Bara mfululizo. Katika mechi 13, imeshinda tano, sare tano, imefungwa tatu, imefunga mabao 19, imefungwa 17 na imemaliza na pointi 20.
P W D L GF GA GD Pts
6 Mtibwa Sugar 13 5 5 3 19 17 2 20

0 comments:

Post a Comment

    Blogger news

    Blogroll

    Pages

    About