
MGAMBO JKT:
Imekuwa na mwanzo mwingine mbaya katika msimu wake wa pili tangu ipande Ligi Kuu na kulingana na hali halisi, Mgambo inaweza kuwa inacheza msimu wa mwisho wa Ligi Kuu ya Bara. Ndiyo inashika mkia baada ya kuvuna pointi sita tu katika mechi 13, ikishinda moja, sare tatu na kufungwa tisa. Kichekesho zaidi, imefunga mabao matatu wakati imefungwa 23.
P W D L GF GA GD Pts
14 Mgambo JKT 13 1 3 9 3 23 -20 6
0 comments:
Post a Comment