Papa Francis
Papa Francis akimbusu mtu anayesumbuliwa na ukoma kwenye ibada iliyofanyika asubuhi ya leo ndani ya St. Peter’s Square.


Hatuwezi fahamu maneno ya Mungu ambayo Baba Mtakatifu alimuombea mtu huyu, ila ni hii ni ishara ya kutukumbusha habari ya Mafunzo ya Mathayo....

Alipotoka mlimani, umati mkubwa wa watu walimfuata. 2 Na mtu mmoja mwenye ukoma akaja akapiga magoti mbele yake akasema, “Bwana, kama ukipenda, unaweza kunitakasa.” 3 Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa, akamwambia, “Napenda. Takasika.” Wakati huo huo yule mtu akapona ukoma wake. 4 Na Yesu akamwambia, “Usiseme cho chote kwa mtu ye yote, lakini nenda ukajionyeshe kwa kuhani na utoe sadaka aliyoamuru Musa, iwe uthibitisho kwa watu kwamba umepona.” –Mathayo 8:1-4

0 comments:

Post a Comment

    Blogger news

    Blogroll

    Pages

    About