Instrumental: Kroos, pictured with girlfriend Jessica Farber, was key in Germany winning the World Cup

Furaha: Kroos, akiwa na mpenzi wake Jessica Farber
 
Kimeeleweka: Ndivyo unavyoweza kusema na tayari Real Madrid imeonekana kuwa ndiyo sehemu sahaihi kwa kiungo wa kimataifa wa Ujeumani Toni Kroos. Kroos ameeleza kwamba anaondoka Bayern Munich baada ya kufanikiwa kutwaa Kombe la Dunia na sehemu sahihi kwake ni Real Madrid. 
Kroos, 24 alikuwa muhimu katika kikosi cha Joachim Low nchini Brazil.
Na, wakati akishangilia ushindi wa 1-0 dhidi ya  Argentina kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia, Kroos alithibitisha kwamba atajiunga na miamba ya La Liga.
Done deal: Toni Kroos has confirmed that he will move to Real Madrid this summer after agreeing terms
Dili limekamilika: Toni Kroos amethibitisha kwamba atajiunga na Real Madrid baada ya kukubaliana

Furaha: Kroos, akiwa na mpenzi wake Jessica Farber


'Tumemaliza fainali za Kombe la Dunia kwa furaha. Sasa nakwenda Madrid, hivyo ndoto mbili zimefanikiwa,' Kroos aiiambia UOL.
Kiungo huyo wa kati anatarajiwa kupokea mshahara wa paundi 160,000 kwa wiki akiwa Bernabeu huku Bayern ikiridhika kumuachia kwa uhamisho wa paundi 20 million na Kroos amekubali mktaba wa miaka mitano na mabingwa wa Champions League.

0 comments:

Post a Comment

    Blogger news

    Blogroll

    Pages

    About