Kweli mfadhii mbuzi binaadam atakuuzi wewe ommy D leo ndo wa kumsupport dully na kumuacha Alikiba aliekutoa na Nai Nai??Ulipokuwa unataka utoke vipi ulitafuta mtu wa kukutoacna ukajua ni Ally Kiba sasa hivi unamuona mavii khaaa binaadam hapana hata kama ume base upande mmoja but usische mbachao kwa msala upitao ndo maana watu wengine maendeleo cyenu yanaishia chalinze kwa roho mbaya |
0 comments:
Post a Comment