Suarez leo ametafuna tena tukio hilo lilitokea kwenye mechi baina ya timu ya Uruguay ambayo anachezea yeye ilipopambana na Italy. picha zinaonesha Suarez akiwa anamtafuna beki wa Timu ya italy Giorgio Chiellini. Kama utakumbuka mwaka jana Suarez alilazimika kuomba msamaha kwa kumngata beki wa Chelsea Branislav Ivanovic



Chiellini akionesha alama za meno baada ya kungatwa na Suarez

Suarez akitowa vipande vya nyama vilobaki kwenye meno yake


Aaaaaaaaakumbe nyama yenyewe kidogo hivi

Chiellini akionesha majeraha yake

0 comments:

Post a Comment

    Blogger news

    Blogroll

    Pages

    About