Kombe la Dunia litakalo fanyika Brazil majira ya kiangazi mwaka huu ni ndoto ya kila mchezaji ambayo anataka itimie kuna wengine wameshindwa kushiriki kutokana na timu zao hazikufuzu lakini kunawengine timuzao zimefuzu lakini hawataweza kushiriki kutokana na majeruhi watakuwa wanaangalia wenzao wakicheza uwanjani kupitia tv
KENGETE BLOG inakuletea top 10 yawachezaji ambao timu zao zimefuzu lakini hawataungana na wezao kutokana na majeruhi nao ni..


10. Robbie Kruse – Australia


Huyu ni staa mwenye umri wa miaka 25 kutoka Austraria anayecheza nafasi ya kiungo katika klabu ya Buyern Luverkusen naye atazikosa fainali zitakazo fanyika Brazil ambayo timu yake po kundi moja na Spain, the Netherlands, na Chile.


9. Makoto Hasebe – Japan
Ni kapteni wa timu ya taifa ya japan anaye chezea klabu ya Fc Nurnberg inayoshiriki Ligi daraja lapili nchini Ujerumani maarufu kama 2.bundesliga aliumia january kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya Steaua Bucuresti timuyake ipo kundi moja na Colombia, Cote d’Ivoire Greece


8. Bruma – Portugal
huyu ni winga mwenye umri wa miaka 19 anayechezea klabu ya gaziantepspor kwa mkopo akitokea Galatasaray
7. Holger Badstuber – Germany
Beki huyu kisiki wa BayernMunich msimu huu mzima alikuw nje kutokana na majeruhi ya mda mrefu naye atazikosa fainali za kombe la Dunia Brazil

6. Sami Khedira – Germany

5. Kevin Strootman – Netherlands

4. Giuseppe Rossi – Italy

3. Theo Walcott – England

2. Victor Valdes – Spain

1. Radamel Falcao – Colombia

Tuma Hii kwa Barua pepeBlogu Hii!Shiriki kwenye TwitterShiriki kwenye Facebook


0 comments:

Post a Comment

    Blogger news

    Blogroll

    Pages

    About