Dayna Nyange Msanii kutoka Morogoro amelalamikiwa na Msanii Mwenzake
kutoka Kigoma aitwae Vumbe wa K Town
kwa kuiba Wimbo Wake uitwao
Pendo na Yeye Kuibadilisha na kuiita Mimi na Wewe.
Kupitia account yake ya facebook hichi ndicho alichoandika Vumbe wa K Town
juu ya Dayna.
''Wimbo wa Dayna uitwao Mimi na Wewe ni Wimbo wng nae kaamua kufanya malipiz
kwangu badala ya Diamond..Tokea umetoka leo ndio nimeusikia huu wimbo ni moja kati ya
nyimbo mbili nilizompelekea kwa niaba aziskize ipi angeweza kufanya vzr
ilikua hiyo ambayo mm niliita "Pendo" na "wapo"ambayo ndani alikua na
kutoka Kigoma aitwae Vumbe wa K Town
kwa kuiba Wimbo Wake uitwao
Pendo na Yeye Kuibadilisha na kuiita Mimi na Wewe.
Kupitia account yake ya facebook hichi ndicho alichoandika Vumbe wa K Town
juu ya Dayna.
''Wimbo wa Dayna uitwao Mimi na Wewe ni Wimbo wng nae kaamua kufanya malipiz
kwangu badala ya Diamond..Tokea umetoka leo ndio nimeusikia huu wimbo ni moja kati ya
nyimbo mbili nilizompelekea kwa niaba aziskize ipi angeweza kufanya vzr
ilikua hiyo ambayo mm niliita "Pendo" na "wapo"ambayo ndani alikua na
0 comments:
Post a Comment